Sio Mbaya

Sio Mbaya Lyrics

Song Sio Mbaya
Artist Jux
Album The Love Album
Download Image LRC TXT
作词 : Jux
作曲 : Jux
Intro:
Aah ha ha, Aah ha ha
Aah ha ha, Aah ha ha
Verse:
Kwa nini ukiniona
Unakosa furaha
Ziache kona kona
Kwa nini ujipe karaha mama
Mi najua unachotaka wee
Unachowazaga
Ata mimi napitiaga
Ila tu najikaza eeh
Pre-Chorus:
Na siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness (Loneliness)
Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako kuna loneliness (Loneliness)
Chorus:
Najua kuna vingi we husemi
Kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya nieleze
Endapo utanimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya
Nipigie, kwangu mimi sio mbaya
Mama uniambie, kwangu mimi sio mbaya yani nieleze
Bridge:
Mmmmh, yeaah
Nieleze, nieleze
Oooh no no no no
Yeeeiyeee
Verse:
Kuna mazuri mengi umefanya
Sikutangaza ubaya (aaah)
Kuna mazuri mengi nimefanya
Sitokusemea ubaya (aaah)
Please let me know oh oh oh
Nijue kweli, sio maigizo (maigizo)
Let me know oh oh oh
Labda we mimi sina tatizo, (tatizo)
Pre-Chorus:
Na siwezi kumaliza verse (Nooo)
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness (Loneliness)
Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face (your pretty face ye)
Naona loneliness aah(Loneliness)
Chorus:
Najua kuna mengi we husemi
Kwangu mimi sio mbaya
Ah sio mbayaaa, kwangu mimi sio mbaya
Sio mbayaaa, kwangu mimi sio mbaya
Mama nieleze
Ukinimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya
Mama maama maama, kwangu mimi sio mbaya
Nasema kwangu mimi sio mbaya nieleze
Outro:
Moyo wako unataka taka
Mdomo wako nakataza taza
Naamua kunyamaza maza
Bora useme unachowaza waza (Unajua mama)
Kwangu mimi sio mbaya (Eyeeee)
Kwangu mimi sio mbaya (Ooaahaah)
Kwangu mimi sio mbaya nieleze (kwa niniiii)
Ukininimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya (aaah aah)
Kwangu mimi sio mbaya (oooh ooh)
Kwangu mimi sio mbaya nieleze eeh
zuo ci : Jux
zuo qu : Jux
Intro:
Aah ha ha, Aah ha ha
Aah ha ha, Aah ha ha
Verse:
Kwa nini ukiniona
Unakosa furaha
Ziache kona kona
Kwa nini ujipe karaha mama
Mi najua unachotaka wee
Unachowazaga
Ata mimi napitiaga
Ila tu najikaza eeh
PreChorus:
Na siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness Loneliness
Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako kuna loneliness Loneliness
Chorus:
Najua kuna vingi we husemi
Kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya nieleze
Endapo utanimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya
Nipigie, kwangu mimi sio mbaya
Mama uniambie, kwangu mimi sio mbaya yani nieleze
Bridge:
Mmmmh, yeaah
Nieleze, nieleze
Oooh no no no no
Yeeeiyeee
Verse:
Kuna mazuri mengi umefanya
Sikutangaza ubaya aaah
Kuna mazuri mengi nimefanya
Sitokusemea ubaya aaah
Please let me know oh oh oh
Nijue kweli, sio maigizo maigizo
Let me know oh oh oh
Labda we mimi sina tatizo, tatizo
PreChorus:
Na siwezi kumaliza verse Nooo
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness Loneliness
Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face your pretty face ye
Naona loneliness aah Loneliness
Chorus:
Najua kuna mengi we husemi
Kwangu mimi sio mbaya
Ah sio mbayaaa, kwangu mimi sio mbaya
Sio mbayaaa, kwangu mimi sio mbaya
Mama nieleze
Ukinimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya
Mama maama maama, kwangu mimi sio mbaya
Nasema kwangu mimi sio mbaya nieleze
Outro:
Moyo wako unataka taka
Mdomo wako nakataza taza
Naamua kunyamaza maza
Bora useme unachowaza waza Unajua mama
Kwangu mimi sio mbaya Eyeeee
Kwangu mimi sio mbaya Ooaahaah
Kwangu mimi sio mbaya nieleze kwa niniiii
Ukininimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya aaah aah
Kwangu mimi sio mbaya oooh ooh
Kwangu mimi sio mbaya nieleze eeh
zuò cí : Jux
zuò qǔ : Jux
Intro:
Aah ha ha, Aah ha ha
Aah ha ha, Aah ha ha
Verse:
Kwa nini ukiniona
Unakosa furaha
Ziache kona kona
Kwa nini ujipe karaha mama
Mi najua unachotaka wee
Unachowazaga
Ata mimi napitiaga
Ila tu najikaza eeh
PreChorus:
Na siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness Loneliness
Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako kuna loneliness Loneliness
Chorus:
Najua kuna vingi we husemi
Kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya nieleze
Endapo utanimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya
Nipigie, kwangu mimi sio mbaya
Mama uniambie, kwangu mimi sio mbaya yani nieleze
Bridge:
Mmmmh, yeaah
Nieleze, nieleze
Oooh no no no no
Yeeeiyeee
Verse:
Kuna mazuri mengi umefanya
Sikutangaza ubaya aaah
Kuna mazuri mengi nimefanya
Sitokusemea ubaya aaah
Please let me know oh oh oh
Nijue kweli, sio maigizo maigizo
Let me know oh oh oh
Labda we mimi sina tatizo, tatizo
PreChorus:
Na siwezi kumaliza verse Nooo
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness Loneliness
Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face your pretty face ye
Naona loneliness aah Loneliness
Chorus:
Najua kuna mengi we husemi
Kwangu mimi sio mbaya
Ah sio mbayaaa, kwangu mimi sio mbaya
Sio mbayaaa, kwangu mimi sio mbaya
Mama nieleze
Ukinimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya
Mama maama maama, kwangu mimi sio mbaya
Nasema kwangu mimi sio mbaya nieleze
Outro:
Moyo wako unataka taka
Mdomo wako nakataza taza
Naamua kunyamaza maza
Bora useme unachowaza waza Unajua mama
Kwangu mimi sio mbaya Eyeeee
Kwangu mimi sio mbaya Ooaahaah
Kwangu mimi sio mbaya nieleze kwa niniiii
Ukininimiss just call me
Kwangu mimi sio mbaya aaah aah
Kwangu mimi sio mbaya oooh ooh
Kwangu mimi sio mbaya nieleze eeh
Sio Mbaya Lyrics
YouTube Results (More on YouTube)