Upofu

Upofu Lyrics

Song Upofu
Artist Jux
Album The Love Album
Download Image LRC TXT
作词 : Jux
作曲 : Elly Piano
Elly Piano
Intro:
Aaaah aauh
Verse:
Unaweza kupenda,
Tena bila sababu.
Ndo maana sijutii, Kukutana na wewe.
Mapenzi ni kitambo,
Toka enzi za mababuuu
Ndio maana sijutii, Kukutana na wewe. Eeeyeeeeeeh
Upofu wako sio tatizo
Uwepo wako kwenye matatizo
Aaah! Tabia zako ooh jinsi ulivo aah ( sio siri x2)
Huruma wako ooh, baby (aah aah)
Pre-Chorus:
Nywele zako, baby, Sura yako
Kucha zako mama, Rangi yako
Mwendo wako, darling, Shepu yako
Zinanibamba weweeee
Pozi zako, Mama, Maringo yako
Unanidatisha michezo yako
Kiuno chako unaweza, Eeeh
Chorus:
Natamani ungejiona eeh
Jinsi ulivyo mrembo X2
Ungeona mamaaa
Jinsi ulivyo mrembo X2
Natamani ungejiona eeh
Jinsi ulivyo mrembo X2
Wewe ni mzuriiii
Jinsi ulivyo mrembo X2
Bridge:
Mmmmmh yeeeeh , Mmmmmh yeeee eeh
Eeeeeeeh
Verse:
Kuna muda unatamani, unipikie chakula,
Kibaya hauwezi
Kuna muda unatamani, unichagulie cha kuvaa, Kibaya hauwezi
Kuna muda unatamani, tutazame muvi wote,
Kibaya hauwezi
Kuna muda unatamani, uione sura yangu, Kibaya hauwezi
Siwezi kukuacha njiani,
We ndio wangu maishani
Na wengine sitamani,
Hata kama hauoni
We ndio wangu daily,
Wengine sitamani
Unanipa raha tele,
Umenikaa moyoni
Ahh! Aaah! Eeeh
Pre-Chorus:
Nywele zako, baby, Sura yako
Kucha zako mama, Rangi yako
Mwendo wako, darling, Shepu yako
Zinanibamba wewe
Pozi zako, Mama, Maringo yako
Unanidatisha michezo yako na na naaana
Kiuno chako unaweza, Eeeh
Chorus:
Natamani ungejiona eeeh
Jinsi ulivyo mrembo X2 no no
Ulivyo mama
Jinsi ulivyo mrembo X2 (Yeeeiyee)
We Mzuriiiiii
Jinsi ulivyo mrembo X2
Aaah ah jinsi ulivyo mama Jinsi ulivyo mrembo X2 mmmmmh
Yeeeeehee
Outro:
Your loving X3
Nafurahia
Your loving X3
We ni mzurii
Your loving X3
Nafurahia
Your loving X3
Nafurahiaaaa
zuo ci : Jux
zuo qu : Elly Piano
Elly Piano
Intro:
Aaaah aauh
Verse:
Unaweza kupenda,
Tena bila sababu.
Ndo maana sijutii, Kukutana na wewe.
Mapenzi ni kitambo,
Toka enzi za mababuuu
Ndio maana sijutii, Kukutana na wewe. Eeeyeeeeeeh
Upofu wako sio tatizo
Uwepo wako kwenye matatizo
Aaah! Tabia zako ooh jinsi ulivo aah sio siri x2
Huruma wako ooh, baby aah aah
PreChorus:
Nywele zako, baby, Sura yako
Kucha zako mama, Rangi yako
Mwendo wako, darling, Shepu yako
Zinanibamba weweeee
Pozi zako, Mama, Maringo yako
Unanidatisha michezo yako
Kiuno chako unaweza, Eeeh
Chorus:
Natamani ungejiona eeh
Jinsi ulivyo mrembo X2
Ungeona mamaaa
Jinsi ulivyo mrembo X2
Natamani ungejiona eeh
Jinsi ulivyo mrembo X2
Wewe ni mzuriiii
Jinsi ulivyo mrembo X2
Bridge:
Mmmmmh yeeeeh , Mmmmmh yeeee eeh
Eeeeeeeh
Verse:
Kuna muda unatamani, unipikie chakula,
Kibaya hauwezi
Kuna muda unatamani, unichagulie cha kuvaa, Kibaya hauwezi
Kuna muda unatamani, tutazame muvi wote,
Kibaya hauwezi
Kuna muda unatamani, uione sura yangu, Kibaya hauwezi
Siwezi kukuacha njiani,
We ndio wangu maishani
Na wengine sitamani,
Hata kama hauoni
We ndio wangu daily,
Wengine sitamani
Unanipa raha tele,
Umenikaa moyoni
Ahh! Aaah! Eeeh
PreChorus:
Nywele zako, baby, Sura yako
Kucha zako mama, Rangi yako
Mwendo wako, darling, Shepu yako
Zinanibamba wewe
Pozi zako, Mama, Maringo yako
Unanidatisha michezo yako na na naaana
Kiuno chako unaweza, Eeeh
Chorus:
Natamani ungejiona eeeh
Jinsi ulivyo mrembo X2 no no
Ulivyo mama
Jinsi ulivyo mrembo X2 Yeeeiyee
We Mzuriiiiii
Jinsi ulivyo mrembo X2
Aaah ah jinsi ulivyo mama Jinsi ulivyo mrembo X2 mmmmmh
Yeeeeehee
Outro:
Your loving X3
Nafurahia
Your loving X3
We ni mzurii
Your loving X3
Nafurahia
Your loving X3
Nafurahiaaaa
zuò cí : Jux
zuò qǔ : Elly Piano
Elly Piano
Intro:
Aaaah aauh
Verse:
Unaweza kupenda,
Tena bila sababu.
Ndo maana sijutii, Kukutana na wewe.
Mapenzi ni kitambo,
Toka enzi za mababuuu
Ndio maana sijutii, Kukutana na wewe. Eeeyeeeeeeh
Upofu wako sio tatizo
Uwepo wako kwenye matatizo
Aaah! Tabia zako ooh jinsi ulivo aah sio siri x2
Huruma wako ooh, baby aah aah
PreChorus:
Nywele zako, baby, Sura yako
Kucha zako mama, Rangi yako
Mwendo wako, darling, Shepu yako
Zinanibamba weweeee
Pozi zako, Mama, Maringo yako
Unanidatisha michezo yako
Kiuno chako unaweza, Eeeh
Chorus:
Natamani ungejiona eeh
Jinsi ulivyo mrembo X2
Ungeona mamaaa
Jinsi ulivyo mrembo X2
Natamani ungejiona eeh
Jinsi ulivyo mrembo X2
Wewe ni mzuriiii
Jinsi ulivyo mrembo X2
Bridge:
Mmmmmh yeeeeh , Mmmmmh yeeee eeh
Eeeeeeeh
Verse:
Kuna muda unatamani, unipikie chakula,
Kibaya hauwezi
Kuna muda unatamani, unichagulie cha kuvaa, Kibaya hauwezi
Kuna muda unatamani, tutazame muvi wote,
Kibaya hauwezi
Kuna muda unatamani, uione sura yangu, Kibaya hauwezi
Siwezi kukuacha njiani,
We ndio wangu maishani
Na wengine sitamani,
Hata kama hauoni
We ndio wangu daily,
Wengine sitamani
Unanipa raha tele,
Umenikaa moyoni
Ahh! Aaah! Eeeh
PreChorus:
Nywele zako, baby, Sura yako
Kucha zako mama, Rangi yako
Mwendo wako, darling, Shepu yako
Zinanibamba wewe
Pozi zako, Mama, Maringo yako
Unanidatisha michezo yako na na naaana
Kiuno chako unaweza, Eeeh
Chorus:
Natamani ungejiona eeeh
Jinsi ulivyo mrembo X2 no no
Ulivyo mama
Jinsi ulivyo mrembo X2 Yeeeiyee
We Mzuriiiiii
Jinsi ulivyo mrembo X2
Aaah ah jinsi ulivyo mama Jinsi ulivyo mrembo X2 mmmmmh
Yeeeeehee
Outro:
Your loving X3
Nafurahia
Your loving X3
We ni mzurii
Your loving X3
Nafurahia
Your loving X3
Nafurahiaaaa
Upofu Lyrics
YouTube Results (More on YouTube)